
Similar Posts

MH. SIMBACHAWENE AFUNGA MAFUNZO YA AWALI YA TAKUKURU – MOSHI.
Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora; Mh. George Simbachawene leo tarehe 06.10.2023 katika Shule ya Polisi Tanzania- Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro amewafungia mafunzo Maofisa na maofisa wasaidizi mafunzo yao ya awali. Hata hivyo, Mh. Simbachawene amewataka wahitimu kutumia taaluma waliyoipata kuifanya TAKUKURU kuwa ya mfano, kuheshimika na kuaminika katika…

Wanafunzi wa PSMU na Askari wa mafunzo ya Awali ya Polisi na Takukuru watoa Misaada Kwa Yatima
Leo tarehe 7/7/2024 Wanafunzi wa PSMU na Askari wa mafunzo ya Awali ya Polisi na Takukuru walioko shule ya polisi Tanzania Moshi wametembelea Kituo Cha Ushirika wa Neema Kalali-Machame cha watoto Yatima na kutoa Misaada mbalimbali ya vitu na pesa Akiongoza msafara huo Sp Elifuraha .M Kukudi amewapongeza Wanafunzi hao kwa kujitoa kwa wahitaji hii…

GWARIDE
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura akikagua gwaride wakati wa hafla ya kuwavisha Nishani maofisa, wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika hafla iliyofanyika Shule ya Polisi…

WIZARA NNE ZA TEMBELEA SHULE YA POLISI TANZANIA – MOSHI.
Wizara ya Fedha, Maji ,Ardhi na Mambo ya Ndani ya Nchi leo tarehe 21.10.2023 zimefanya ziara Shule ya Polisi Tanzania

KHERI YA MIAKA 61 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
SACP RAMADHANI A. MUNGI, COMMANDANT wa Shule ya Polisi Tanzania – Moshi, anawatakia kheri ya Miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Wakufunzi wote na familia zao, Watumishi raia, pamoja na Wanafunzi wote waliopo katika Shule ya Polisi Tanzania – Moshi. Maadhimisho haya ni ishara ya kutambua na kuthamini mchango wa Waasisi wote kwa Waliojitoa na…