SHULE YA POLISI TANZANIA-MOSHI YA UKARIBISHA MWAKA MPYA 2025 KWA UPANDAJI MITI

Mheshimiwa Raymond Mwangwala, Mkuu wa Wilaya ya Rombo, aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla ya kuaga mwaka 2024 na kuukaribisha mwaka 2025. Wakati wa hafla hiyo, iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Shule ya Polisi Tanzania-Moshi,ambapo alishiriki kupanda mti katika viunga vya shule hiyo. Hafla hiyo ilihudhuriwa na wakufunzi, wanafunzi, na wageni mbalimbali.

WANAFUNZI WA MAFUNZO YA UONGOZI MDOGO NDANI YA JESHI LA POLISI NGAZI YA CPL WALIOPO KAMBI YA KILELEPORI WAFANYA USAFI KATIKA ZAHANATI YA SINAI

WANAFUNZI WA MAFUNZO YA UONGOZI MDOGO NDANI YA JESHI LA POLISI NGAZI YA CPL WALIOPO KAMBI YA KILELEPORI WAFANYA USAFI KATIKA ZAHANATI YA SINAI

Leo tarehe 26/12/2024 kuanzia saa 02:00 Hadi 06:00 Asubuhi siku ya mapumziko ya Christmas wanafunzi 200 wa mafunzo ya uongozi mdogo ndani ya jeshi la Polisi ngazi ya CPL waliopo kambi ya Kilelepori wakiongozwa na Adjutant wa shule ya Polisi Tanzania – Moshi SSP A.S. Damazo, wakaguzi wasaidizi 02; A/INSP Ramadhani na A/INSP Machaule na…

UMAHIRI WA ASKARI POLISI WAMKOSHA NAIBU WAZIRI

UMAHIRI WA ASKARI POLISI WAMKOSHA NAIBU WAZIRI

Naibu waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mheshimiwa Jumanne Sagini amekoshwa na umahiri wa askari Polisi waliopo mafunzo ya uongozi mdogo cheo cha sajini meja na Koplo walioonyesha wakati wa maonyesho mbalimbali ya kuhitimisha mafunzo ya medani za kivita Septemba 5, 2023 kambi ya kambapori iliyopo Kilimanjaro Magharibi. Mhe. Sagini ambaye alikuwa mgeni rasmi…