KHERI YA MIAKA 61 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
SACP RAMADHANI A. MUNGI, COMMANDANT wa Shule ya Polisi Tanzania – Moshi, anawatakia kheri ya Miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Wakufunzi wote na familia zao, Watumishi raia, pamoja na Wanafunzi wote waliopo katika Shule ya Polisi Tanzania – Moshi. Maadhimisho haya ni ishara ya kutambua na kuthamini mchango wa Waasisi wote kwa Waliojitoa na…