KATIBU MKUU wA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AWASILI TPS-MOSHI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Ndugu Ally Senga Gugu akiwasili Shule ya Polisi Tanzania- Moshi kwa ajili ya kufunga Mkutano Mkuu wa mwaka wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi Agosti 15, 2025.